vitu vya ndani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    Manyara: Mjamzito anyang'anywa Vitu vya ndani kwa madai ya Mumewe kuuza Simu ya Wizi

    Ila Viongozi wetu jaman kuna tunakubali mnavyotunyanyasa ila kuna muda mnapitiliza Masikio kuzidi Kichwa Kwa hiyo Siku hizi Mtu akiuza Simu ya Wizi basi mnaenda kuchukua Vitu vya ndani vya anapoishi au makusudi tu
  2. BOMBAY

    Ameibiwa vitu vya ndani pamoja na simu, je anaweza wapata wezi kupitia simu?

    Habari wakuu, Dada yangu ameibiwa vitu vya ndani pamoja na simu zake, je naweza kuipata vitu kwa kutumia simu ikiwa hakumbuki IMEI za simu?
  3. ndege JOHN

    Vitu gani vidogo vidogo unavyovitumia umevimiliki kwa muda mrefu sana

    Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi documenties. Kwa kumbukumbu zangu naona kama nilinunuliwa taulo na sanduku nikiwa shule ya msingi...
  4. BabaMorgan

    Kuuza vitu vya ndani kukidhi gharama za maisha

    Katabia haka kakikushika unaweza kujikuta ndani umebaki na mkeka tu kinachoumiza zaidi ni kuuza vitu kwa bei ya hasara. Yote hii ni kukosa chanzo cha uhakika cha pesa. Mbaya zaidi haka katabia akiwa nako kiongozi wa juu basi ujue Taifa litakuwa na hali mbaya ndio hapo utasikia ubinafsishwaji wa...
  5. Imphuvyi

    INAUZWA Vitu vya ndani vinauzwa

    Sofa mbili, 130k kila moja Vitanda viwili, 140k kila kimoja TV solamax inchi 43, smart 400k Showcase 70k Coffee table kubwa 170k Coffee table ndogo 130k Godoro inchi 8, 5/6, 130k Godoro inchi 6, 5/6, 100k Kabati la nguo futi 4.5 300k Karibuni, ukonga majumbasita. 0696276166 Sabati la vyombo 170k
  6. Q

    Vitu vya ndani kwa bei nafuu

    Vinauzwa kwa bei nafuu; Kitanda. 5x6. = 120,000/= Godoro dodoma 5x6 inch 8 = 120,000/= Kabati la nguo. = 120,000/= Mtungi wa gesi, jiko na Meza. = 150,000/= Coffee table. = 70,000/= Friji ndogo [Mr uk] = 200,000/= Vipo Dar es Salaam. Anayehitaji tafadhali piga namba 0693 733 218. Karibuni...
  7. M

    Nahitaji kusafirisha vitu vya ndani kutoka dar es salaam kwenda Songea!

    Naombeni msaada ni njia gani cheap na salama naweza kutumia Kusafirisha vitu ya ndani kutoka Dar es salaam Hadi Songea!🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Na Bei za usafirishaji zipoje?
  8. DR HAYA LAND

    Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used

    Natafuta Mtu anayeuza vitu vya ndani used kwa Bei nzuri Aje pesa hipo Mfuko wa Shati Ahasanteni. Gesi Godoro Nk aje nipo DSM Temeke
  9. D

    Nahama, nauza vitu vya ndani

    Niko Dodoma Sofa watu 8 Sh. 680k Subwoofer 120k speaker 3 base ya 4 Showcase 280k NB: Vitu vyote vina miezi miwili tu Watsap 0715140001
  10. Tajirimsomi

    Nahitaji kusafirisha vitu vya ndani kutoka Dar to Tanga

    Naombeni kujua njia rahisi au kufahamu magari ya kusafirisha mizigo kwenda Tanga wapi yanapaki kwa Dar na gharama sh. ngapi wakuu.
  11. D

    INAUZWA Nahama nauza vitu vya ndani

    Niko Dar es Salaam - Upanga Kabati la vyombo 180,000 Kabati la nguo 180,000 Sofa watu 7 - 400,000 Meza watu 4. call/sms 0752140000, 0787215011
  12. BrazakakaBura

    Nauza vitu vya ndani

    Nauza showcase 170k, sofa 130k, feni 35k, router 45k niko Africana Mbezi beach
  13. ankol

    Biashara ya vitu vya ndani

    Nawasalimu waungwana. Nimetenga kiasi cha pesa 10m niweze jiajiri kwa kuuza vitu vya ndani kama ma carpet, ma duvet, mito, mapazia like kama unavyoyaona maduka ya home shopping center. Nachoomba kutoka kwenu ni ABC ya biashara hii. Je nitatoboa? Location ni Sinza karibu ya Palestina. Mwenye...
Back
Top Bottom