Wakuu,
Tupeane maujuzi hapa ya mambo ya kufanya na kutokufanya
Ukiahamia chumba kipya au nyumba mpya uzingatie nini?
Sasa msije mkasema "Uingie na boksa kinyume nyume"🤣🤣🤣🤣maana nimewahi kusikia kuna watu nishasikia lazima waweke kwanza vitu vyao kuua chochote kilichoachwa na aliyetoka sehemu...