Kwako Rais wa JMT
Mhe. Samia Suluhu Hassan,
Ninakusalimu kwa jina la JMT,
Kufuatia uzinduzi rasmi wa safari za SGR, Dsm- Dom uliofanya siku ya 01/08/2024 na Taifa kuandika historia ya kipekee katika ukamilikaji wa mradi huo mkubwa ambapo sambamba na uzinduzi wa safari hiyo pia tukio hilo...