viwanda vya wachina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. E

    Viwanda vipya vingi vinakaribia kuanza uzalishaji, Serikali itoe ushirikiano na kuvilinda

    Kuna viwanda zaidi ya 3000 eneo la kisarawe two soon vitaanza uzalishaji, Vikindu kuna viwanda zaidi ya 1000 vikiwa katika hatua ya mwisho ya ujenzi, Kibaha kuna viwanda zaidi ya 500 vikiwa hatua ya mwisho ya ujenzi tayari kuanza uzalishaji. Niwakati sasa kwa serikali kuangalia labor force...
  2. Subira the princess

    Ni kwanini Serikali haikusanyi kodi kwa wachina? Ni rushwa au ndo kula kwa Urefu wa kamba?

    Wasalaam Tanzania yetu kuja kujitegemea itachukua karne nyingi sana kwa sababu mamlaka za kiserikali za kusimamia makusanya ya kodi zimefeli na hazina ubunifu. Kwa mfano hapa Dar wanaosumbuliwa kulipa kodi ni wafanyabiashara wenye vifrem na maduka ili hali kuna viwanda vingi bubu visivyo na...
  3. A

    DOKEZO Viwanda vya mchina Mikoa ya Njombe na Iringa wanakata sana miti, na sisi tunafaidika kidogo sana

    Hivi viwanda vipo Iringa na Njombe. Wanakata milingoti sana na wanaharibu mazingira. Wafanyakazi hatuna mikataba anakufukuza muda wowote kwa chochote. Assume wazee wetu walipanda miti ili watoto tufaidike, anafaidika mchina. Kwa siku kiwanda kimoja wanaweza kata miti zaidi ya 400 na viwanda...
Back
Top Bottom