Hii team Hakika Rage alikuwa nabii kuwaita mbumbumbu
Matatizo ya team Yao hawayaoni, hawahoji chochote eanajidanganya eti ni team namba 6 Africa 😆
Simba wanadanganywa na nafasi waliopanda kwa Africa nafasi waliyoipata kipindi kina Miquison wapo katika ubora wao.
Tofauti kati ya Simba na pamba...
Mimi nj mdau wa muda mrefu wa unga wa ngano wa Azam. Lakini kwa sasa unga wenu umepungua sana ubora.
Hauna ubora wa mwanzo umekua hauna quality umekua kama umechanganywa Na unga wa mahindi.
Ukiukanda unakua kama mpira halafu hata ukitengenezea Maandazi hayawi soft kama zamani Na unanyonya...