Habari Ndugu, jamaa na marafiki
Sisi sote tumesikia au tumepitia kuhusu kutapeliwa kwenye ununuzi wa viwanja.
Hii hali inachosha na inaumiza sana, hasa kwa yule aliyetapeliwa kwenye ununuzi wa viwanja.
Wengi wetu huwa tunawacheka waliotapeliwa au kununua kiwanja chenye mgogoro (nakuombea...