Eneo la ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba (cage culture) linakodishwa kwa gharama nafuu, eneo linapatikana Mwanza wilaya ya Ukerewe, ndani ya Ziwa Victoria.
Eneo hili lina sifa nzuri kwa muwekezaji anaetaka kuwekeza kwenye ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba.
Sifa za Eneo
1. Vibali...