vizinga

Vizinga (Russian: Визинга, Komi: Визин) is a rural locality (a selo) and the administrative center of Sysolsky District of the Komi Republic, Russia. Population: 6,810 (2010 Census); 7,140 (2002 Census); 7,014 (1989 Census).

View More On Wikipedia.org
  1. Balqior

    Kupiga vizinga (kuomba omba hela) na selfishness mentality ni moja ya sababu inayofanya wadada wengi wasiolewe, au wawe single mothers

    Habarini Utakuta ukimuuliza mdada kwanini hadi umri huo alio nao hajaolewa na yupo single, atakwambia hajaona mwanaume serious, baadhi ni kweli hawajapata wanaume serious, ila wadada wengine ni kwamba hata wao wenyewe hawapo serious kwenye hayo mahusiano wanayoingia. Wanaingia kwenye...
  2. Prakatatumba abaabaabaa

    Ipi ni sababu kuongezeka kwa vizinga siku za karibuni kuliko miaka ya zamani?

    Ukijichanganya kutongoza Mwanamke yoyote tu, hapo utaanza kupigwa vizinga tena Kwa kulazimishwa utadhani anakudai. Hivi kwanini wanawake wamegeuka kua omba omba? Shida imekua nini? Hivi tunawezaje kupata Mwanamke wa kuoa kwenye kizazi hiki Cha omba omba? Juzi nimejaribu kutafuta wapenzi...
  3. sky soldier

    Ni ujinga mkubwa kudhani kwamba kukamia tendo ndio kumkomoa binti mpiga vizinga

    Huwa nashangaaga sana mtu kapigwa vizinga ama kazungushwa sana halafu siku ya siku dem kaamua au kabananishwa kutoa mzigo, Mtu anajisifia nimekamua sana nimemkomoa, hivi upo serious kabisa mwanamke alieanza mapenzi tangu kavunja ungo umekutana nae akiwa kwenye 20's unaweza kumkomoa kwa game ...
  4. Makonde plateu

    Nyie wasomi hebu jaribuni kuwaza nje ya box,tumechoka vizinga vyenu

    Yaani just imagine mie darasa la saba B nasumbuliwa na hii mijitu inayojiita wasomi kila kila leo wakinipiga mizinga ya pesa mara Shangazi amemeza kiti,mara mke wangu anataka Dela aisee chefuu inakera sana! Sasa nasema hivi nyie wasomi acheni kunisumbua dadeki nyie si mnahisi kusoma ni...
  5. Apollo one spaceship

    Msaada: Kuna binti ananipiga vizinga vya uongo

    Wakuu natumaini hamjambo naomba ushauri nichukue maamuzi gani Kuna binti amezoea kunipiga vizinga ilhali sina mahusiano nae ni ile tu kujuana kishikaji, mbaya zaidi anakuingizia uongo ambao muda mwingine ukija kuchunguza yeye mwenyewe anakiri kuongopa. Maisha magumu naona kama ananipa...
  6. Gulio Tanzania

    Kuna athari kuoa mwanamke anayeanza mahusiano kwa vizinga

    Ukweli bado vijana wengi tuna dhana ile tunaamini mwanamke ambaye hakuombi hela ndo anafaa kuwa mke sasa limeibuka wimbi kubwa la wanawake wapiga mizinga ukisikiliza maoni ya vijana wanasema wanawake hawa ni hit and run hawafai kuolewa. Sasa nimeamua kuleta mada ili tupeane uzoefu kwa wanaume...
  7. dawa yenu

    Ifike hatua niachwe tu!

    Basi bwana nikajua nimepata, kumbe nimepatikana kinoma kinoma aisee! Huyu binti nilikuwaga namuona tu hapa kitaa na mikato yake ya akina Kim Kardashian utafikiri ameshuka toka state last night! Wa moto hatari anaongea kiswahili flani cha Kimamtoni huwezi amini! Ana life lake hilo standard za...
Back
Top Bottom