vodacom premier league

The Tanzania Mainland Premier League (Swahili: Ligi Kuu Tanzania Bara) is the top-level professional football league in Tanzania and is administered by the Tanzania Football Federation. The league was formed in 1965 as the "National League". Its name was later changed to the "First Division Soccer League", and to the "Premier League" in 1997.

View More On Wikipedia.org
  1. Ghazwat

    FT: Simba SC Vs Yanga SC (0-1)| Simba yashindwa kutwaa Ubingwa wa Ligi kuu uwanja wa Benjamin Mkapa

    Naaaam..! Hujambo na Karibu kwenye Matangazo ya Habari za Michezo, Burudani na Uchambuzi. Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Jumamosi ya July 3, 2021, ambapo mchezo unaobeba hisia za mashabiki wengi Tanzania na nje ya Tanzania kati ya Watani wa Jadi, Kariakoo Derby...
  2. TheGreatASA

    Simba yanusa ubingwa VPL

    USHINDI wa 4-1 waliopata Simba dhidi ya Mbeya City unawafanya klabu hiyo kuhitaji pointi nnetu ili wawe mabingwa wa Ligi Kuu Bara. Mabao ya Rally Bwalya, Luis Miquissone, John Bocco na Clatous Chama yalitosha kuwafanya mashabiki wa Simba kuweka imani ya ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Simba...
  3. Ghazwat

    Vodacom Premier League VPL | Simba SC Vs Mbeya City (4-1) | Benjamin Mkapa

    Patashika ya Ligi Kuu Kuendelea kupigwa leo Juni 22 2021, ambapo Mabingwa wa Nchi wanawakabili Mbeya City Uwanja wa Benjamin Mkapa Jiji Dar es salaam. Mchezo huu unatarajiwa kuwa mkali na wakusisimua kwa muda wote wa dakika 90 huku kila timu ikihitaji alama tatu muhimu ili kuweza kujiweka sawa...
  4. Chizi Maarifa

    FT: Yanga vs Mwadui (3-2) | VPL | Benjamin Mkapa

    Match kama ya leo itusaidie kupandisha wafungaji wetu wafikishe bao nyingi. Huyu kipa wa Mwadui tunamfahamu vizuri sana. Naomba tutumie nafasi hii kupata ushindi wa kishindo. =========== 21' Goaaal, Yanga wanauweka ubao sawa, Yanga 1-1 Mwadui 28' Yanga wanapata mpira wa adhabu ndogo nje...
  5. Ghazwat

    Polisi Tanzania Vs Simba SC (0-1) | VPL | CCM Kirumba

    Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara VPL Kuendelea kupigwa leo Juni 19, 2021 ambapo Polisi Tanzania wanawakabili Mabingwa wa Nchi, Simba SC, Mnyama Mkali kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jiji Mwanza. Kocha Msaidizi wa Polisi Tanzania George Mketo, amesema wamejipanga kuhakikisha wanaibuka na ushindi...
  6. Ghazwat

    Vodacom Premier League VPL | Ruvu Shooting Vs Simba SC | Uwanja wa CCM Kirumba

    Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Juni 3, 2021 ambapo Ruvu Shooting wanawakabili na Simba SC kwenye uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Simba SC anaingia kwenye dimba akiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa mkondo wa kwanza kwa bao moja kwa bila dhidi ya Ruvu...
Back
Top Bottom