vox populi

Vox populi ( VOKS POP-yuu-lee, -⁠lye) is a Latin phrase (originally Vox populi, vox Dei – "The voice of the people is the voice of God") that literally means "voice of the people." It is used in English in the meaning "the opinion of the majority of the people." In journalism, vox pop or man on the street refers to short interviews with members of the public.

View More On Wikipedia.org
  1. Paspii0

    "Vox populi, vox Dei (Sauti ya watu ni sauti ya Mungu)

    👉🏾Katika nadharia isiyoelezeka kisayansi napendelea kusema mapenzi au maoni ya watu wengi yana uzito mkubwa, na yanaweza kuonekana kama ishara ya mapenzi ya Mungu. Katika mitazamo ya kidini,ikiwemo Ukristo na Uislamu, kuna mafundisho yanayosema kwamba Mungu ndiye chanzo cha mamlaka yote...
Back
Top Bottom