Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.
Akiongea na...