vyakula vya mtaani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Adui mkubwa wa afya ni vyakula vya kununua, pamoja na tamaa ya faida inalisha watu vibudu, mchele ulioharibika

    Kuanzia matatizo ya vidonda vya tumbo, vijana kuwahi kuzeeka, kukosa nguvu za kiume, n.k. kwa kiasi kikubwa inachangiwa na kula vyakula vya kununua Kuna wafanyabiashara wa vyakula wao ni faida mbele, afya yako haina kipaumbele, wewe utalishwa vibovu wao watajipikia chakula tofauti. Njia za...
  2. ERoni

    Kula ovyo kutakuja kutuathiri sana siku moja

    Hello wakuu, Kuna kitu nimekiona, kipo na mara nyingi najiwazia nakuwa na wasiwasi juu ya afya zetu kama jamii. Hii tabia ya kula kila mahali, mazingira yoyote bila kujua namna chakula kilivyoandaliwa. Ukipita kwenye mikusanyiko na sehemu zilizochangamka utakuta meza zimewekwa, kuna kila aina...
Back
Top Bottom