vyama 14

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Wakili Mwabukusi: Nataka kufungua kesi hivi vyama 14 vya upinzani vifutwe. Vyama ambavyo sio serious viondoke!

    Wakuu, Siku ya jana akiwa anazungumza kwenye mdahalo ulioandaliwa na Jamii Forums pamoja na Star TV, Wakili Boniface Mwabukusi amedokeza kuwa yuko mbioni kufungua kesi dhidi ya vyama 14 vya upinzani nchini Akiwa anazungumza mbele ya Chief Odemba wa Star TV, Mwabukusi alisema kuwa atafungua...
  2. Mindyou

    LGE2024 Msimamizi Wa Uchaguzi Dodoma: Maandalizi ya Uchaguzi yamekamilika na wagombea 326 kutoka vyama 14 vitashiriki!

    Wanabodi, Kuna hii taarifa kwamba kuna vyama takriban 14 ambavyo vimejitokeza kugombea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa huko mkoani Dodoma. Hivi ukitoa CCM, CHADEMA na ACT hivyo vyama vingine ni vipi? Au ndo matawi ya CCM? ==========================================================...
  3. BARD AI

    CHADEMA yajibu mapigo ya Vyama 14 kuhusu kikosi kazi

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema njaa iliyopitiliza, kutumika na kukosa dira ya masuala ya kitaifa ni sababu ya baadhi ya vyama vya upinzani kupinga msimamo uliotolewa na chama hicho juu ya ripoti ya Kikosi Kazi. Oktoba 23 mwaka huu, muungano wa vyama 14 vya upinzani ulitoa...
Back
Top Bottom