vyama imara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwl. Nyerere alitaka vyama viwili imara vya siasa vishindane kama tunataka tufanikiwe

    Ndoto ya Mwl. Nyerere kukubali vyama vingi vya siasa nchini ni kupata vyama viwili vikubwa vinavyokosoana, kuonyana na kuogopesha kisera katika kuitawala nchi. Hakupenda utitili wa vyama vidogovidogo visivyoweza kuikosoa na kuitikisa CCM katika kuzuia ukabila, umaskini, udini na rushwa. Vyama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…