Vyama vya kufa na kuzikana havina tija kwa muhusika anayechangia, kwa sababu atasubiriwa afe yeye au ndugu na jamaa ndipo chama kianze mchakato wa kumzika.
Nilikuwa nashauri, kwa nini hivi vyama visisomeke, Kuuguzana na kuzikana? Ikiwa na maana ya kupigania uhai wa mwanachama, ambapo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.