vyama vya kufa na kuzikana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vyama vya kufa na kuzikana vibadilike na viwe vyama vya kuuguzana na kuzikana

    Vyama vya kufa na kuzikana havina tija kwa muhusika anayechangia, kwa sababu atasubiriwa afe yeye au ndugu na jamaa ndipo chama kianze mchakato wa kumzika. Nilikuwa nashauri, kwa nini hivi vyama visisomeke, Kuuguzana na kuzikana? Ikiwa na maana ya kupigania uhai wa mwanachama, ambapo ndio...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…