vyama vya upinzani tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. marashi ya pwani

    Chama tawala na upinzani haviwezi kuwa na ushabiki kama wa Simba na Yanga?

    Kama hutuwezi kuvumiliana katika hili basi hakuna haja ya kuwa na vyama vingi Shabiki wa YANGA na Simba wanapata huduma sawa na hakuna kati Yao anaeoneka si BINADAMU sahihi Lakini Leo inafikia hatua ukiwa chama Cha upinzani unaonekana mpinga maendeleo mleta vita mtu usie stahili katika jamii...
  2. Mi mi

    Pre GE2025 Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni hapana!

    Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao. Lakini Watanzania wengi kujifanya kwao sijui wazalendo, wana uchungu sana na nchi ni maigizo tu ya kukosa vipande vya mate katika keki ya...
  3. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 ACT Wazalendo yajipanga kushirikiana na Vyama vingine na Taasisi kupigania Uchaguzi Huru na Haki

    Chama cha ACT Wazalendo kimesema kipo tayari kuunganisha nguvu na vyama vingine vya siasa pamoja na taasisi mbalimbali ili kuhakikisha vinapambania uwepo wa uchaguzi huru na haki mwaka huu. Akizungumza leo Februari 23 kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho Kiongozi wa ACT Wazalendo...
  4. Mende mdudu

    Wenyeviti wa vyama vingne vya upinzani mnasubiri nini kujitokeza hadhani ku support No Reform, No Election

    Wenye viti wa vyama vingne vya upinzani mna subiri nini kujitokeza hadhani ku support NO REFORM, NO ELECTION. Mzee wa ubwabwa, Act wazalendo, cuf, nk
  5. mbinguni

    Uko wapi upinzani imara wa vyama vya upinzani?

    Tangu nchi hii iingie kwenye siasa za vyama vingi kumekuwa na kanyaga twende ya vyama vya upinzani kuzuiwa kufanya siasa zao kwa uwanja usio sawa. Hadi leo,chama tawala kimeweka mazingira magumu mno kwa vyama husika kufanya siasa ya kweli ili kuweza kupata mbadala wa chama tawala. Iko wapi njia...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    Wanasiasa wapo CCM huwezi kuwa chama cha upinzani Afrika ukajiita Mwanasiasa. Wewe ni mwanaharakati tuu

    Salama kabisa! Inashangaza Sana. Au ndio Elimu za kikasuku. ELIMU za kukariri. Unakuta mtu na elimu yake Kabisa umri umeenda lakini anashindwa kutofautisha Mwanasiasa na Mwanaharakati. Anashindwa kuelewa MUKTADHA WA mtu kuwa mwanasiasa na kuwa Mwanaharakati. Kwa mazingira ya nchi nyingi za...
  7. Mkalukungone mwamba

    Ayub Rioba: Vyama vyote vya upinzani nchini vinafahamu kuwa TBC ni Chombo chao cha Habari na vinakaribishwa muda wote

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, ametolea ufafanuzi madai ya baadhi ya watu wanaoishutumu TBC kwa kutovialika baadhi ya vyama vya upinzani, ikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kushiriki mijadala inayohusu siasa. Akijibu shutuma...
  8. K

    LGE2024 Je, kura ya hapana kwa Mgombea wa Mtaa/kijiji inaweza kuwasaidia Vyama vya Upinzani?

    Kanuni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu inasema kuwa hapatakuwa na mgombea kupita bila kupingwa na hivyo itabidi apigiwe kura ya hapana au ndiyo. Leo nimemuona Tundu Lissu akiwafundisha wapiga kura wa Nyamongo - Tarime kuwa siku ya uchaguzi wampigie mwenyekiti zliyepita bila mpinzani...
  9. jingalao

    LGE2024 Hata kama ni kutetewa vyama vyote ni muhimu kuzingatia taratibu za uchaguzi

    Inawezekana kabisa nia ya 4RS ipo dhahiri kupitia CCM Lakini ni vyema vyama vyote kuzingatia taratibu tulizojiwekea katika uchaguzi. Inashangaza mgombea umeelezwa wazi kuwa iwapo hujatendewa haki kata rufaa Nenda kwenye mamlaka ya kiuchaguzi pigania haki yako halafu badala ya kufanya hivyo...
  10. Nehemia Kilave

    Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

    Binafsi naamini Tanzania Mpya itatengenezwa kwa kuudhoofisha mfumo imara wa CCM na kupata katiba Mpya. Hayati Magufuli alijaribu mpaka wana CCM wengi wakamchukia, wapinzani hawakumuelewa na yeye akaamua kuwabadilikia . Laiti kama Upinzani ungezungumza lugha Moja na Magufuli ndani ya kipindi...
  11. figganigga

    LGE2024 Vyama zaidi ya 10 vya Upinzani Tanzania, vimefurahishwa na mchakato wa Uchaguzi Serikali za Mtaa 2024?

    Salaam Wakuu, Hadi sasa hivi vyama vyama zaidi ya 10 vya Upinzani venye nia ya kuiondoa CCM madarakani, vipo kimya kana kwamba hakuna kinachoendelea. Je, vimefueahhishwa na mchakayo wa Uchaguzi Serikali za Mitaa? Nawaomba vyama vifuatavyo vijipambanue kuunga mkono au kutounga mkono Mchakato...
  12. Mndeme jeremia

    Pre GE2025 Vyama vya upinzani vijijenge kitaasisi na sio kusubiri uchaguzi na kuanza kuleta malalamiko

    Kumekuwa na Sintofahamu kuhusu mchakato wa baadhi ya vyama vya siasa kupata wawakilishi kuelekea uchaguzi wa serekali kuu na uchaguzi wa mwakani. Vyama vingi vya siasa vimekua vikilalamika wagombea wao kuenguliwa kwa kukosa sifa za kugombea kwenye Chaguzi hizo, japo madai haya bado...
  13. T

    LGE2024 Wapinzani wasisherekee rough za uchaguzi ndani ya ccm hilo ni jalamba la kuja kwao! Ikiwa yanaupata mbichi vipi mkavu?

    Inavoonekana CCM wana utaalamu wa hali ya juu sana katika kucheza rough za uchaguzi. Na dalili za wazi tunaziona kwenye chaguzi za kura za maoni ndani ya chama, na kama haufikiri kwa kina unaweza kudhani zile ni rough ndani ya CCM, lakini ukweli ni kwamba lile ni tangazo la wazi kwa upinzani...
  14. Chachu Ombara

    Pre GE2025 Ado Shaibu: ACT Wazalendo, CHADEMA na vyama vingine makini vya upinzani tuungane kuing'oa CCM madarakani

    Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu ametoa rai kwa CHADEMA na vyama vingine makini vya upinzani nchini kuungana kupigania mazingira ya kidemokrasia ikiwemo Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi, mageuzi ya Jeshi la Polisi na uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake, ambapo amesema kuwa...
  15. D

    Kuwa na vyama ambavyo havina itikadi hata moja ni shida sana. Wanabaki wanasubiri tu Rais leo anasema nini ili kukosoa

    Hivi ukumuuliza John Mnyika, Tundu Lisu au Mbowe anaamini katika nini na ana ideology gani hata hajui. Yeye au wao ni kuangalia tu wafanye fujo namna gani ili wasikike. Nchi zingine kama marekani kuna ideologies kama left wing politics au right wing politics hivyo wapiga kura wanakuwa...
  16. jingalao

    Chadema imedhihirisha kuwa haiwezekani kuwaamini wapinzani

    Hata iweje wapinzani wanabaki kuwa wapinzani tu.hawana zuri bali ni watumia fursa tu.Ni mafisi wanaosubiri mfupa. Hawana sera na hawataki kujielekeza kwenye hoja ya kuikwamua nchi kutoka kwenye makucha ya kikoloni. wapinzani ni zao la ukoloni. Hata wapewe nini watabaki hivyo tu. Je...
  17. ChoiceVariable

    Prof. Kitila Mkumbo: Wapinzani Wanauza Malalamiko, CCM inauza Mafanikio

    My Take Wapinzani wa Tanzania ni uchwara na hawajitambui . 👇👇 "Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imetekeleza miradi mingi ya maendeleo hasa kwenye Jimbo letu la Ubungo ndio sababu tunasema wapinzani wanauza malalamiko lakini sisi CCM tunauza mafanikio" Prof. Kitila...
  18. Tlaatlaah

    Ili upinzani Nchini uwe na nguvu ya ushawishi kisiasa ni sharti waachane kabisa na kujiongoza kwa hisia, ghadhabu, mihemko na matamko ya bila maono

    Ni muhimu sana wakafanya tafiti za kutosha na kuibua sera, mipango mikakati, na uelekeo mahususi utakao washawishi wananchi wengi zaidi na kukonga nyoyo zao, na hapo ndipo watakua na maana, uhalali na nguvu ya kupambania wananchi. Na sio kukurupuka kama ilivyo sasa kwa mfano kama Chama cha...
  19. M

    Pre GE2025 Zitto Kabwe ashauri vyama vya Upinzani kusimamisha Mgombea mmoja wa Urais katika uchaguzi ujao

    Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe, akizungumza na Crown Fm ametoa rai yake kuhusu Upinzani kuungana na kuwa na mgombea mmoja. Akizungumzia jambo hilo Zitto amesema: Ni wakati Vyama vya upinzani kuweka pembeni tofauti zao na kukaa pamoja kurekebisha makosa yaliyopita kuwa...
  20. Mjomba side

    Pre GE2025 Kujificha nyuma ya hoja ya kutokuhudhuria kwa Katibu Mkuu wa CCM: Upinzani wamekosa Sera madhubuti

    CHADEMA,ACT-WAZALENDO,CUF,NCCR-MAGEUZI ni vyama vya siasa vilivyo kosa sera halisi kwa watanzania ndio maana wameshindwa kunadi sera zao kwa watanzania kupitia vyombo vya habari kwa kujificha kwenye HOJA ya kutokuhudhuria kwa katibu mkuu wa ccm kwenye mdahalo* _Tumeona nchi Kama Marekani...
Back
Top Bottom