Tanzania ni nchi ambayo inahamasisha sana katika utunzaji wa mazingira. Maeneo ya miji mikubwa kama DAR ES SALAAM, ARUSHA na MWANZA wanapambana ipasavyo kuhakikisha mazingira yanakuwa safi, na hata viongozi wa nchi wanahimiza sana katika swala nzima la mazingira.
Licha ya kupambana kwa ukubwa...