Nilienda Ofisi za NECTA mwezi Novemba mwaka Jana 2023 kuomba wanisaidie Replacement kwa Cheti Nilichopoteza Ikiwemo Cha Kidato Cha Nne Ofisi za NECTA
Wakanijibu kuwa kwa sasa wao hawafanyi Tena hizo Kazi ninatakiwa kujaza mwenyewe kwa njia Ya Mtandao, wakaniambia natakiwa nikajitangaze kwenye...