Siku ya jumatatu nilipata kwenda uwanja wa CCM Kirumba, kisha nikaenda sehemu ya haja ndogo.
Yaani Mazingira hayafai hata kidogo yaani vile vyoo vinavyozunguka ule uwanja ni vichafu sana na miundombinu yake imechakaa sana pia na ukizngatia taifa letu linajiandaa kuwa na mashindano makubwa...
Karibu Benki zote hazina huduma ya vyoo kwa wateja hapa nchini, tunafahamu Benk ni kwajili ya kuweka hela na kutoa hela lakini ofisi nyingi vyoo ni vya watumishi tuu, sasa kama mabenki wateja ndiyo washirika wao kwanini vyoo vinakuwa ni tatizo kwao?
Je, wateja wao hawana mahitaji ya kwenda...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Nimefatilia Muda mrefu sana na kubaini kuwa ni karibu Bank zote hazina vyoo vya wateja.
Kwanini?
---
---
---
---
===
BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU
---
-----
---
---
---
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.