vyuo vya veta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    CPA Anthony Kasore: Vyuo vya VETA kufika 145 mwaka huu

    Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imeeleza mafanikio makubwa iliyoyapata tangu kuanzishwa kwake mwaka 1994, ikiwemo ongezeko la vyuo vya ufundi stadi kutoka 14 hadi 80, kuongezeka kwa vyuo binafsi hadi zaidi ya 770, na kupanuka kwa wigo wa udahili wa wanafunzi kutoka 38,560 hadi...
  2. B

    Nawashauri vijana , wazazi/walezi kabla watoto wenu hawaijingia Chuo wapelekeni VETA kwanza mtanishukuru baadae!

    Nikiwa kama mmoja wa wahitimu wa Chuo naomba kuwasilisha kuwa kwa observation yangu miaka minne tangu nipate elimu Kwa Sasa Bila ujuzi wa kazi za mikono vijana lazima tutapata depression sana Nashauri vijana msijifanye kushupaza shingo na angalau msiwe na mihemko ya kuwahi kwenda chuo kwa...
  3. Kyambamasimbi

    Vijana mliofaulu Form six nashauri nendeni VETA kuliko kwenda vyuo vikuu kupoteza muda na gharama zisizo za lazima

    Habr wanjf. Kwa upendo kabisa naomba kuwashauri wazazi wenzangu, ni vyema kuwa na maono ya mbali kuhusa safari ya maisha ya vijana wetu,kama kijana amefaulu form six au form four ni vyema aende VETA akapate ujuzi utakaomfanya Aishi kuliko kutafuta Sifa kwamba Nina Degree isiyo na faida, Huku...
Back
Top Bottom