Vyuo vya afya vinavyotoa diploma vimekuwa vingi sana kitu ambacho ni chema.
Lakini katika wingi huu,umeingia ushindani usio halali wala sawa katika kunyang'anyana wanafunzi.Kuna uhuni mkubwa baadhi ya vyuo vikubwa wanafanya lakini mamlaka zilizopo zinawachekea tu.
Mamlaka kama Nactvet...