Rais William Ruto Jumanne usiku alielezea uvunjaji wa bunge kama kitendo cha uhaini, na akaahidi kuchukua hatua kali dhidi ya waandaaji na wafadhili wa maandamano, ambayo yalikuwa yameingia siku ya tano.
Rais Ruto alikuwa akihutubia taifa baada ya siku ya maandamano ambayo yalisababisha vifo...