waajiriwa na uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LGE2024 Kuwe na utaratibu wa kutoka kazini mapema kipindi cha kampeni za uchaguzi ili tukasikilize sera. Au kama vipi mtuletee wagombea wajinadi maofisini

    Nimekaa, nikawaza: kwa nini kusiwe na utaratibu kwamba wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu au Serikali za Mitaa, wafanyakazi wa umma na binafsi waruhusiwe kutoka kazini mapema ili wakasikilize sera za wagombea wa maeneo yao? Wafanyabiashara walioko masokoni, madukani, na maeneo mengine yenye...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…