Nimekaa, nikawaza: kwa nini kusiwe na utaratibu kwamba wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu au Serikali za Mitaa, wafanyakazi wa umma na binafsi waruhusiwe kutoka kazini mapema ili wakasikilize sera za wagombea wa maeneo yao?
Wafanyabiashara walioko masokoni, madukani, na maeneo mengine yenye...