Kwanza nikiri wazi naamini football sio mchezo mzuri Kwa wanawake kushiriki katika kucheza au uamzi labda kwenye uongozi na nafasi nyingine katika football
Si busara wala tamaduni zetu Africa wanawake kuchangamana na wanaume hivo bila stara
Football ni mchezo wa kugusana
Ni rahisi mwanamke...