waandishi kukamatwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Papaa Mobimba

    Pre GE2025 Handeni: DC Msando aamuru mwandishi wa habari kukamatwa na kazi zake kufutwa kwenye camera

    Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando, ameagiza Mwandishi wa Habari wa ITV kukamatwa na kuamuru kufutwa kwa kazi zote zilizokuwa zimerekodiwa na Mwandishi huyo ambaye Alikuwa anafuatitilia Sakata la Madereva wa Malori ya mchanga kugoma, kwa kile kinachodaiwa kutozwa ushuru mkubwa na...
  2. R

    Waandishi wa habari wanadaiwa kukamatwa Mbeya, vyombo vya habari kimya

    Vyombo vya habari vimeposti kwa wingi habari ya tuzo za wasanii kuliko kujadili habari za ndugu zao waliokamatwa. Je, vyombo hivi vinahitaji nani aje kuwasemea? Kama wao wenyewe wanashindwa kujisemea, nani atatetea haki na maslahi yao? Ni kweli kwamba wanaridhika na mapato yao wanayopata...
Back
Top Bottom