waathirika wa maporomoko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    RC Manyara, Queen Sendiga Akabidhiwa Nyumba 74 za Waathirika wa Maporomoko ya Matope

    Agosti 5, 2024 kumefanyika makabidhiano ya mradi wa ujenzi wa nyumba 74 za waathirika wa maporomoko ya matope zilizopo katika eneo la Warret Wilayani Hanang kati ya Suma JKT na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Manyara Ujenzi umekamilika kwa asilimia mia moja (100%) ambao ulianza machi 18 2024 chini ya...
  2. Erythrocyte

    Nyumba za Waathirika wa Maporomoko ya Hanang zakabidhiwa

    Japo tuliwahi kuweka hapa picha za nyumba hizo, baadaye uzI ule ukanyongelewa mbali na vigogo wa JF , hata hivyo hakuna tofauti yeyote kati ya hizi za leo na zile tulizowasilisha awali. Tunawakumbusha tu wakubwa wa jf kwamba Nyumba nyingi kama hizi za umma huwa hazijengwi kwa kificho, sasa...
Back
Top Bottom