Kila nikifikiria na kuwaza saana naona njia ya kusaidia Kongo ni moja tu. Ni kurudisha wabelgiji watutawale Mara ya pili ili watuonyeshe walifanyaje kipindi kile mpaka Kongo belge ikiwa ya pili uchumi Barani afrika maana sisi wakongo sioni yeyote ambaye anaweza kuongoza taifa ili kwa maendeleo...