Wakuu,
1. Philip Isdor Mpango – (Mbunge wa Buhigwe) Makamu wa Rais wa Tanzania
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kuwa mbunge wa Buhigwe.
Elimu
Alisoma katika shule za msingi na sekondari huko Kigoma na alihitimu kutoka Ihungo High School...