Kwa nini CCM iliupendelea huo utaratibu? Labda una manufaa kwa nchi?
Naamini kungeitishwa kura ya maoni, wananchi wengi, mimi nikiwemo, wangependelea utaratibu wa mawaziri kutokuwa wabunge.
Utaratibu huo ni kuuishi dhana ya kila muhimili kujitegemea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.