wabunge kuwa mawaziri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Utaratibu wa Mawaziri kuteuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge kunainufaishaje nchi?

    Kwa nini CCM iliupendelea huo utaratibu? Labda una manufaa kwa nchi? Naamini kungeitishwa kura ya maoni, wananchi wengi, mimi nikiwemo, wangependelea utaratibu wa mawaziri kutokuwa wabunge. Utaratibu huo ni kuuishi dhana ya kila muhimili kujitegemea.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…