Wakuu,
1. Francis Kumba Ndulane - Mbunge wa Kilwa Kaskazini
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 20,501, akimshinda Ngombale Vedasto Edgar wa CUF aliyejikusanyia kura 8,513.
Elimu:
Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Uwanjani...