Wakuu,
1. Samweli Xaday Hhayuma – Mbunge wa Hanang
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Samweli alipata kura 14,203, akimshinda Kiza Hussein Mayeye kutoka CHADEMA ambaye alipata kura 20,342.
Michango Bungeni: Samweli ameleta michango 34 na kuuliza maswali 68...