Wakuu,
1. Boniface Mwita Getere - Mbunge wa Bunda
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Aliibuka mshindi kwa kupata kura 50,780, akimshinda Kissama Samwel Ndaro kutoka CHADEMA aliyejikusanyia kura 5,596.
Elimu:
Elimu ya Msingi: Iramba Primary School (1974 -...