Wakuu,
1. Atupele Fredy Mwakibete - Mbunge wa Busokelo
Chama: CCM
Uchaguzi (2020): Alipata kura 79,950 (alishinda kwa wingi)
Elimu:
Shule ya Msingi: Gerezani (1994-2000)
Sekondari: Azania (2001-2004), Galanos (2007)
Shahada ya Sayansi ya Kompyuta (IFM, 2007-2010)
Shahada ya Uzamili ya...