Wakuu,
1. Jumanne Kibera Kishimba - Mbunge wa Kahama Mjini
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alishinda kwa kura 35,709, akimshinda Sonia Jumaa Magogo wa CHADEMA aliyejikusanyia kura 10,740.
Elimu:
Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Shule ya...