Wakuu,
1. Isack Francis Mtinga - MBUNGE WA IRAMBA MASHARIKI
Tarehe ya Uchaguzi (2020): Alipata kura 35,457
Elimu
Shahada ya Sayansi ya Chakula na Teknolojia, Chuo Kikuu cha Sokoine (1999-2003)
Mchango katika Siasa
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Singida
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM
Kamishna...