Wakuu,
1. Kwagilwa Reuben Nhamanilo – Mbunge wa Handeni Mjini
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020: Alipata kura 15,241, akimshinda Thadeo Joachim Assechekamwati kutoka CUF ambaye alipata kura 6,713.
Kazi Bungeni: Tangu mwaka 2021, amekuwa katika Kamati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.