wabunge viti maalum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Catherine Ruge: Mwanamke anaweza kushinda kura za maoni, lakini anaambiwa ampishe mwanamume ili yeye apewe viti maalumu

    Katibu Mkuu wa zamani wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Catherine Ruge amesema vyama vya siasa ni nyenzo muhimu ya kuhakikisha wanawake wanajengewa uwezo wa kuwania majimbo, lakini bado haviamini kama kundi hilo linaweza kusimama. Ruge aliyewahi kuwa mgombea ubunge wa Serengeti...
  2. Mindyou

    Mbunge wa Viti Maalum Jacqueline Ngonyani: Wanawake kuwa na kipato sio chanzo cha kumnyanyasa mumeo

    Wakuu, Akiongea na wanawake wa mkoa wa Ruvuma katika kongamano la wanawake wa mkoa huo Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Ruvuma, Mhe Jacqueline ngonyani Msongozi amesema mwanamke kuwa na kipato sio kigezo cha kumvunjia heshima mume wako ni wajibu wa mwanamke kumuheshimu mwanaume hata kama...
  3. M

    Pre GE2025 Mtoto wa Rais Samia, Mbunge wa viti maalum Wanu ana mchango 0 toka aingie bungeni 2020. Huyu kwanini bado anapokea mshahara?

    Wanabodi, Tukisema kwamba huyu anakula posho za bure na mishahara ambayo hajaifanyia kazi tutakuwa tumemuonea? Kuna huyu Mbunge wa Viti Maalum anaitwa Wanu Afidh AMeir who also appears to be the daughter wa Rais Samia. Tangu ameingia bungeni mwaka 2020 hajatoa mchango hata mmoja. An mchango...
  4. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Sophia Simba: Wanawake waliokaa muda mrefu kwenye Viti Maalum waachie nafasi kwa vijana

    Mwanasiasa na Waziri Mstaafu, Sophia Simba, amesema ni wakati muafaka kwa wanawake waliokaa muda mrefu kupitia Viti Maalum Bungeni kuwaachia nafasi vijana ili kuendeleza harakati za uwezeshaji wa wanawake katika siasa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Februari...
Back
Top Bottom