wabunge wa viti maalum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Dk Ave- Maria Semakafu: Ningetamani kuona Gen-Z (wanasiasa wanaochipukia) waende kwenye viti maalumu

    Mratibu wa Kitaifa wa Umoja wa Wanawake Wanasiasa (Ulingo), Dk Ave- Maria Semakafu amesema anatamani wanasiasa wanaochipukia ndio wapate ubunge wa viti maalumu ili wazoefu waende majimbo wakashindane. “Ningetamani kuona Gen-Z (wanasiasa wanaochipukia) waende kwenye viti maalumu, sisi watu...
  2. Ruzuku ya vyama vya siasa haitokani na Wabunge wa Viti Maalum

    Hili ni jambo muhimu sana ambalo wana JF mnapaswa kulifahamu, kwamba ruzuku ya vyama vya siasa hutolewa kutokana na Kura za Jumla ambazo Chama kimepata kutoka kwenye Uchaguzi Mkuu husika. Kwa mfano, Jumla ya Kura ambazo Chama kinapata kwenye Majimbo yote ndio zinazopigiwa mahesabu ya kujua hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…