wachagga

The Chaga (also called Chagga, Wachagga) are Bantu-speaking indigenous Africans and the third largest ethnic group in Tanzania. They traditionally live on the southern and eastern slopes of Mount Kilimanjaro and Mount Meru and near Moshi. Their relative wealth comes from the favorable climate of the area and successful agricultural methods, which include extensive irrigation systems, terracing, and continuous organic fertilization methods practiced for thousands of years. They were one of the first tribes in the area to convert to Christianity. This may have given them an economic advantage over other ethnic groups, as they had better access to education and health care as Christians.
The Chaga descended from various Bantu groups who migrated from elsewhere in Africa to the foothills of Mount Kilimanjaro, a migration that began around the start of the eleventh century. While the Chaga are Bantu-speakers, their language has a number of dialects related to Kamba, which is spoken in southeast Kenya, and to other languages spoken in the east, such as Taita and Pokomo. They are culturally related to the Pare, Taveta, and Taita peoples. The inhabitants reveal migration occurred back and forth throughout the history of these groups, and the Chaga people should be viewed as a part of the bigger population inhabiting the entire Kilimanjaro Corridor.
The Chaga area is traditionally divided into a number of chiefdoms. They follow a patrilineal system of descent and inheritance. Their way of life is based primarily on agriculture, using irrigation on terraced fields and oxen manure. Although bananas are their staple food, they also cultivate various crops, including yams, beans, and maize. In agricultural exports, they are best known for their Arabica coffee, which is exported to American and European markets, resulting in coffee being a primary cash crop.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Mwadhama Polcarp Kadinali Pengo amewamwagia sifa Wachagga

    Leo Jimbo Katoliki Moshi lilikuwa na Upadrisho wa mashemasi 18 katika Ibada ya misa hiyo ambayo iliiongozwa Askofu Mkuu huyo mstaafu wa wa Jimbo kuu Katoliki la Dar es Salaam. Mwisho wa Ibada hiyo Askofu wa Jimbo Katoliki Moshi Ludovic Joseph Minde alimpa nafasi Kadinali Pengo kutoa salamu na...
  2. chakii

    Takwimu zinaonyesha kabla ya Uhuru mwaka 1961 asilimia 80 ya wasomi kwa ngazi ya PhD na Professor walikuwa wachagga

    Kheri ya mwaka mpya WanaJF
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Watanzania wengi wanaamini CHADEMA ni chama cha Wachagga ndio maana wanamuunga Lisu kuondoa mzizi wa fitna

    Mpo salama! Watanzania wanaamini Wachagga ni watu wote wanaotokea Kilimanjaro na Arusha bila kujali mikoa hiyo inamakabila mengine kama Wapare, Wameru, Wambulu, Wamasai, Wachagga na Wasambaa kidogo. Sio ajabu hata wakisikia John Mnyika, au Halina Mdee licha ya kuwa ni Wapare hao ila Watanzania...
  4. M

    Wachagga, Wakikuyu na Waigbo

    Haya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede. Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana. Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine. Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi ila Wachagga na Waigbo...
  5. Mohamed Said

    Wachagga na Kahawa

    Nimekuwa na kawaida siku hizi kuwa ninaposoma Makala ya historia basi huenda kwenye kazi zangu zilizopita na kuangalia nini nimeandika. Ndugu yangu Abdulkarim Ally ameandika makala (haipo hapa) iliyonivutia sana kuhusu siasa za Uchaggani wakati wa ukoloni. Imesadif kuwa mimi nilitafiti na...
  6. GENTAMYCINE

    Wachagga nimethibitishiwa hili na Mchagga tukuka mwenzenu je, lina ukweli au mnalikataa?

    "Kwa Mila zetu Wachagga ni kwamba Mwanamke yoyote yule wa Kichagga akiolewa licha ya Kumzalia Watoto huyo Mumewe lakini pia anatakiwa Kuchanganya Damu ( Kuzaa Mtoto wa Nje ya Ndoa ) ili ikitokea hawa Watoto aliozaa na Mumewe wa Ndoa wamepatwa na Janga baya la Ugonjwa basi kuwepo na Mtoto...
  7. Mshana Jr

    Wachagga walitaka kuunda nchi yao (Chagga State), Mwl. Nyerere akaomba wasifanye hivyo

    Wakati wazungu wanagawana bara la Afrika, walipokuja walikuta baadhi ya maeneo kuna tawala zenye nguvu, zilizokua na mfumo rasmi wa uongozi. Mojawapo ya tawala ilikuwa ni dola ya wachagga (Chagga state). Dola hiii ilikuwa na Kiongozi Mmoja aliyeitwa Mangi Mkuu Mangi mkuu aliteua Mamangi wadogo...
  8. Lycaon pictus

    Kitabu: Desturi za Wachagga

    Kitabu hiki kizuri sana. Kina mengi ya kujifunza yenye msaada hata leo. Kimetungwa na S. J. Ntiro Kuchapwa 1953. Unaweza kukisoma ndani ya maktaba app. TuPM Kuungwa. DIBAJI YA WATOAJI KITABU Juzi juzi mtaalamu mmoja wa mambo ya Afrika aliandika: "Bila mikusanyo mingi ya hakika ya mambo ya...
  9. Wildlifer

    Utani; Rebmann na Wachagga mlimani Kilimanjaro

    Paa la Afrika. Nilikuwa nimesikia mengi juu ya Kilimanjaro, mlima mrefu kuliko wote barani Afrika. Hali kadhalika, nilisoma mengi na kutazama picha nyingi zilizoonyesha mlima huo. Lakini katika yote hayo niliyosikia au kuona kwenye picha hakukuwepo lolote lililoniacha nisiweze kupigwa na butwaa...
  10. Lycaon pictus

    Jinsi Kilimanjaro Natives Cooperative Union (KNCU) kilivyowainua Wachagga na kuwafanya kuwa 'mbele' hata leo hii

    Ukisoma kitabu Desturi za Wachagga utaelewa kwa nini Wachagga wako mbele kuliko makabila mengi ya Tz. Kwanza kitu kikubwa sana kilichowatoa ni kupanda kahawa na kuwa na hiki chama Kilimanjaro Native Cooperative Union(KNCU) kama chama kikuu cha ushirika. Chama hiki kiliongozwa na mzungu kwa...
  11. Lycaon pictus

    Je, Wachagga na Wamasai ni ndugu moja?

    Nilikuwa nasoma kitabu Desturi za Wachagga, by S. J. Ntiro, 1953. Jisomee mwenyewe. MLANGO WA 5 ASILI YA WACHAGGA Wachagga ni kabila lenye mchanganyiko wa makabila mengi sana. Makabila haya yameingia katika nchi ya Kilimanjaro katika nyakati tofauti. Makabila mengi yameingia Kilimanjaro...
  12. MSAGA SUMU

    Wachaga ndio kabila pekee ambalo haliwezi kuua sababu ya pesa

    Niko Moshi mida hii, aiseee wachagga wanajua kula Bata. Na pia Wana mshikamano na upendo. Huku ni chupa juu ya chupa. Mbuzi hadi nawaonea huruma, halafu utaratibu ni ule ule kila nyumba. Hii ikanikumbusha juu ya uaminifu walionao ndugu zetu kutoka milimani Kilimanjaro. Mchagga ni mtu pekee au...
  13. whiteskunk

    Wachaga kwenda Moshi December ni ishara ya upendo na mshikamano

    Ukitaka kujua Moshi kuna watu njoo mwezi huu, mitaa inameremeta kama maua. Huu utamaduni unaashiria wachaga ni kabila lenye upendo na mshikamano, na pesa ipo pia. Kipindi nasoma same boys watu wa kanda ya ziwa walikuwa hawaendi makwao likizo wanajibana kwa watu, kuja kuchunguza ndo nikaambiwa...
  14. KIMAROO

    Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

    Kabila la Wachaga linafahamika kwa wengi kuwa linapatikana mkoani Kilimanjaro.Kwa asili, Wachaga ni mchanganyiko wa Wamasai, Wasambaa, Wataita, Wakamba na Wakahe. Wachaga walianza kuhamia kwenye miteremko ya Mlima Kilimanjaro kwenye karne ya 17. Walipofika wakiwa katika vikundi vidogovidogo...
  15. LENGISHO

    Je, Wachagga wanaongea lugha moja?

    Kumekuwa na Utata wa Muda Mrefu Kuhusu Kama Wachagga Wanaongea Lugha Moja Au Ni Lugha Mbalimbali Tofauti, Jambo Ambalo Limeleta Utata Mwingine wa Kwamba Kama, Je Wachagga Ni Jamii Moja Au Ni Jamii Mbalimbali Zilizojikuta Zinaishi Kwenye Mlima Kilimanjaro na Kuamua Kujiita Kwa Pamoja Wachagga? –...
  16. J

    Rais Samia - Wachagga tupunguze matayarisho ya pombe kutokana na upungufu wa nafaka

    "Niwaombe sana ndugu zangu wa Kilimanjaro, tupunguze kidogo matayarisho ya Mbege na vinywaji vingine kwa kutumia nafaka, tujue kwamba mwezi wa 10 hatukupanda, tutapanda Machi na kutakuwa na upungufu kidogo wa chakula,,"-Samia Source-Nipashe Tanzania.
  17. Vawulence

    Ushahidi wa kinachowapeleka Wachagga nyumbani Desemba.

    Pichani ni mifano hai ya sababu zinazowafanya wachaga waje Moshi kila mwisho wa mwaka.....
  18. GENTAMYCINE

    Hivi 'Mashemeji' zangu 'Wachagga' kwani ni lazima muende Kwenu Kilimanjaro kila 'Krismasi' tu?

    Mbona miezi iko mingi tu kwanini nyie 'mhangaike' sana na huu Mwezi Mmoja tu wa Disemba? Kiukweli mnatusumbua sana na hizi Kelele zenu za kila ukifika tu Mwezi huu wa Disemba kuwa kuna shida ya Usafiri na kwamba Nauli nazo huwa zinapandishwa maradufu. Acheni kuishi 'Kimatambiko' na anzeni pia...
  19. Unique Flower

    Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

    Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu? Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga...
  20. uran

    Tabia hizi za Wachagga za kujenga nyumbani zinapaswa kuigwa na Makabila yote

    Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako). Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua. Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua...
Back
Top Bottom