wachambuzi wa michezo tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Serikali harakisheni elimu Kwa wachambuzi wa media za Tanzania

    Nimeanza kuafiki wazi la waziri mwana FA kuhusu kuwapa elimu ya uchambuzi wachambuzi mazwazwa wa Tanzania Inashangaza wachambuzi kuongelea na kulamika kuhusu upangaji wa kikosi wa coach na kulazimisha kipangwe kikosi wanachotaka wao 1. coach ndo anaishi na wachezaji Coach ndo anajua mchezaji...
  2. Wachambuzi wa mpira bongo, kocha sio mwalimu

    Wachambuzi na watangazaji wa mpira fahamuni kocha sio sawa na mwalimu, kocha ni zaidi ya mwalimu. Mnapomuita au kumfananisha kocha na mwalimu mnakuwa kama watu makanjanja wasio na weledi katika kazi yenu.
  3. Media za nchi hii upande wa habari za michezo kuna udhaifu mkubwa sana ina nchi hii kuna timu tatu tu!

    Tangu dirisha la usajili lifunguliwe tunasikia simba,yanga na azam hatusikii vilabu vingine vinafanya nini wala vinajiandaje huko mikoani. Wachambuzi wote simba na yanga mpaka habari zinachosha na marudio ya kila siku, tunataka kusikia Coastal, pamba, Tabora, Namungo na kadhalika wamesajili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…