wachambuzi wa soka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Mwana FA: Wachambuzi wa Soka kupelekwa kozi ili kukidhi vigezo kukaa kwenye vyombo vya Habari kuchambua

    Serikali imesema bado ina dhamira ya kuhakikisha inatekeleza mpango wa kuwapa mafunzo (kozi) wachambuzi wa michezo kabla ya kwenda kufanya kazi ya uchambuzi kwenye vyombo vya habari kwa mujibu wa kanuni za michezo kama zinavyotaka. Hayo yameelezwa tarehe 05 Februari, 2025 bungeni Jijini Dodoma...
  2. secretarybird

    Kwa nini wachambuzi wa soka wa redio ambazo siyo maarufu wana tabia ya kuwasikiliza wachambuzi wa redio maarufu na kuwakariri?

    Wakuu nimekuwa nikisikiliza redio nyingi ambazo siyo maarufu nchini hasa vipindi vya michezo na nilichogundua ni kuwa hawa wachambuzi wa soka wa hivi viredio wanachukua Kila kitu kutoka kwa wachambuzi wa redio maarufu hapa nchini kama E FM, Wasafi, Crown FM na Clauds FM. Lea asubuhi nilikuwa...
  3. GENTAMYCINE

    Mbona Wachambuzi wa Soka la Tanzania katika Redio na Runinga sasa hawatuambii tena Timu bora kati ya Simba na Yanga ni ipi?

    Na walivyokuwa Wendawazimu na Watu wa kupewa Fedha na MSG watasema bado aliyefungwa Mechi Mbili katika Ligi Kuu ya NBC ndiyo Timu bora huku yule ambaye Kafungwa Mechi moja tu na sasa ndiyo anaongoza Ligi na huenda akaongoza hadi Ubingwa siyo Timu bora. GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely...
  4. ngara23

    Nimeshangaa Mchambuzi TV-E anasema Dube anapigwa misumari( kurogwa) pale Yanga

    Tanzania vituko haviishi yaani Mchambuzi aliyesoma akiwa live kabisa. Anasema Dube kukosa nafasi ni laZima analogwa na washambuliaji wenzake akina Musonda, Mzize na Baleke Huyu bwana haamini katika mpira hajui mpira wa Sasa ni sayansi. Yaani ligi imechezwa mechi 1 na mechi 2 za CAF jamaa...
  5. Decree Holder

    Wanasheria wa Vilabu vya Soka Tanzania fanyeni wajibu wenu, msilaumu wachambuzi

    Mawakili wa Club za mpira tekelezeni wajibu wenu badala ya kulaumu wachambuzi na wachezaji Na Wakili Zawadi Lupelo Leo katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na makala fupi ya Mwanasheria wa Club ya Yanga Wakili Simon Patrick akiwalaumu wachambuzi walioshabikia sakata la Feitoto kuvunja...
  6. BabaMorgan

    Wachambuzi wa Soka kuwa na mafanikio zaidi kuliko wachambuzi wa siasa

    Vipindi vya michezo vimekuwa vingi kwenye televisheni na radio licha ya kuwa vingi ni miongoni mwa vipindi vyenye muda mrefu; kwa makadirio vinachukua muda wa masaa mawili mpaka matatu kwa msingi huo usishangae kila kijiwe story zikiwa Simba na Yanga, Dewji na GSM, Ntibanzokiza na Mayele...
Back
Top Bottom