Wakuu,
Kuna huyu Tiktoker anaitwa Zero Brainer ambaye ni Mtanzania anayeongoza kuwa na followers zaidi Tanzania Tiktok.
Video zake huko Tiktok zina Millions of likes of followers lakini hazingatiwi kabisa. Ana followers Milioni 12 amemzidi amemzidi hadi Diamond
Kila siku mnawazungumzia...