✍️Usimamizi mbaya wa fedha baadhi ya wachezaji: Hukosa ujuzi au elimu kuhusu jinsi ya kusimamia mapato yao makubwa wanapokuwa kwenye kilele cha taaluma yao. Matokeo yake, wanatumia pesa kwa anasa au uwekezaji usio na faida, na wanapostaafu, wanakosa vyanzo vya kipato.
✍️Matarajio ya mapato ya...