wachezaji wa taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mende mdudu

    Barua ya wazi kwa wachezaji wa Taifa Stars watakaocheza na Congo kufuzu AFCON

    Napenda kuandika ujumbe uu wa wazi kwa wanchezaji watakao ingia uwanjani leo dhidi ya DRC congo, Ni ukweli usiopingika kama kongo hatuwawezi sio kwa mchezaji mmoja mmoja au kwa team play. Ila naandika ujumbe ukaguse mioyo na wakavae damu ya kizalendo zidi ya taifa leo. Kwenye mpila kuna muda...
  2. M

    Wachezaji wa Taifa stars wapigwe viboko

    Maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 Pia soma:FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
  3. Mkalukungone mwamba

    Samatta, Msuva watupwa nje kikosi cha Taifa Stars kufuzu afcon 2025

    Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman akitaja Kikosi kitakachoingia kambini Agosti 28, 2024 kujiandaa na michezo ya kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea itakayochezwa Septemba 4 na Septemba 10, 2024. Kocha Morocco amewacha Mbwana Samatta na Saimon Msuva katika Kikosi hicho...
Back
Top Bottom