wadaiwa wa heslb

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DeMostAdmired

    Hivi kuna namna mdaiwa HESLB anaweza kuangalia kiasi anachodaiwa pasipo kufika ofisi za HESLB?

    Kama head inavyojieleza, hivi kuna uwezekano mdaiwa akaangalia deni analodaiwa HESLB pasipo kwenda ofisini kwao? Na kama hakuna huo uwezekano kwanini wasiweke mifumo online watu tukawa tunafuatilia mwenendo wa madeni yetu? SOME ADDITIONAL CONTENTS..... JAMANI NIMEINGIA KWENYE ACC YANGU KAMA...
  2. C

    Bodi ya mikopo wekeni wadaiwa sugu majina yao na vyuo vyao, kama nyie sio wezi wa pesa ya mikopo?

    Mpaka pale Board ya mikopo itakapo chapisha majina ya hao wadaiwa sugu na mwaka waliomaliza na chuo walichosoma na digrii walizosoma, ndo tutaamini hawakua mafisadi Kuna taarifa kuwa walikuwa wakitoa mikopo hewa kwa wakopaji hewa zikiingia mifukoni mwao Waweke list ya hayo majina na kiasi...
  3. Dr am 4 real PhD

    Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Juni 28, 2024) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo ya elimu ya juu. Kampeni hiyo, inayofahamika kama Fichua imezinduliwa jijini...
Back
Top Bottom