Kama head inavyojieleza, hivi kuna uwezekano mdaiwa akaangalia deni analodaiwa HESLB pasipo kwenda ofisini kwao?
Na kama hakuna huo uwezekano kwanini wasiweke mifumo online watu tukawa tunafuatilia mwenendo wa madeni yetu?
SOME ADDITIONAL CONTENTS.....
JAMANI NIMEINGIA KWENYE ACC YANGU KAMA...
Mpaka pale Board ya mikopo itakapo chapisha majina ya hao wadaiwa sugu na mwaka waliomaliza na chuo walichosoma na digrii walizosoma, ndo tutaamini hawakua mafisadi
Kuna taarifa kuwa walikuwa wakitoa mikopo hewa kwa wakopaji hewa zikiingia mifukoni mwao
Waweke list ya hayo majina na kiasi...
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Ijumaa, Juni 28, 2024) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo ya elimu ya juu.
Kampeni hiyo, inayofahamika kama Fichua imezinduliwa jijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.