Niliomba chuo(TIA) na kupata nafasi. Aidha nilipangiwa campus ya Mwanza.
Nimefika kwa ajili ya Udahili naambiwa nimepangiwa chuo kimakosa, kozi hiyo haipo kwa hapa Mwanza natakiwa niende Dar es salaam au singida kwenye Branch zao zilizopo huko.
Kwangu Mimi huu ni usumbufu wa hali ya juu kwani...
Habari za asubuhi wanajamvi,
Samahani naomba kujuzwa ikiwa kanuni na taratibu za utumishi wa umma zinaruhusu Kwa waalimu kufanya biashara darasani Kwa wanafunzi anaowafundisha?
Kwa ufupi ni kwamba kuna shule moja ipo mkoani Morogoro, wilaya ya Morogoro DC ambapo mwezi January niliwahamishia...
Kwa majina naitwa Abdul Komando Mtimbe (19) ninaishi Dar es salaam Tanzania.Nimezaliwa tarehe 07.12.2004
Nimepata elimu yangu ya msingi katika shule ya msingi Mchangani wilaya ya Kinondoni jijini DAR ES SALAAM ambapo nilianza mwaka 2010 na kumaliza 2016 na nilifanikiwa kujiunga na elimu ya...
MIMI NIMEHITIMU KIDATO CHA NNE NA SITA. KIDATO CHA SITA PCB NIMEPATA "ESE" NIKAONA SIWEZ KWENDA DEGREE NIKAENDA SOMA FOUNDATION PROGRAM YA OUT (1YRS) SIJUI MUNAIJUA hii program NIKAPATA GPA YA 3.5
Maana yake nishapata VIGEZO vya degree ila course ninayotaka kusoma degree ni IT au Computer...
Niende moja kwa moja kwenye mada,. kutokana na kuwepo na ushindani wa ufauru wa kishule kimkoa nk, tumeona watendaji mbali mbali ngazi ya taifa mpaka wilaya wakija na mikakati mbali mbali ya kuinua ufauru ila Kuna masula haya yameibuka na kama kumekuwa Kuna kuigana hapa bila kuwa na mbinu...
ONGEZEKO LA SINGLE MOTHERS NA ATHARI ZAKE
BY : RASHID ABUNAYA
Email : rashidabunaya@gmail.com
Assalaam aleykum ndugu wana jamii,
Ni matumaini yangu mu buhery wa afya kwa wale mlio na shida za kiafya basi mwenyezi mungu awafanyie wepesi mpate kupona
Ndugu wana jamii, bila shaka ninyi nyote...
Asalaam Aleykum,
Naona Tamisemi walishaweka form za SelForm katika tovuti yao, hivo kama mdau wa elimu(mhadhiri, mkufunzi, mwalimu na mwanafunzi n.k)
Karibuni tutoe ushauri juu ya namna ya kufanya ili watoto na vijana wetu wapate miongozo iliyo karibu na usahihi.
Tunaenda kujadili elimu na mfumo wa kujiajiri
Wadau wa elimu wahusika ambao ni Sector binafsi hawapo
Wamejazana wafanyakazi wa serikali walio chini ya waziri ndalichako.
Huu ni utoto tulitakiwa kuwaita watu ambao wapo tayari nje ya box kama Mafundi wa magari, vinyozi, Mafundi simu, Wanaofanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.