Hawa jamaa ndio wanaosimamia maduka ya dawa maarufu kama Pharmacy.
Jana nimeona wameungana na wanaharakati akina shangazi, kupinga agizo la mheshimiwa waziri Ummy, la kuondoa maduka ya dawa yaliyo karibu na Hospitali za umma kama inavyosema sheria yao wenyewe.
Sheria au kanuni ziliweka umbali...