wafanyabiasara tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. 1Afica54

    NAOMBA kujua kuhusu kilimo Cha tangawizi?

    Habari za mda huu ndugu wapambanaji wenzangu Naomba maelekezo kwa anae jua namna nzuri ya kilimo Cha tangawizi 1,hali ya hewani 2,aina nzuri ya mbegu 3, jinsi ya kuandaa mbegu au upatikanaji wa mbegu nzuri 4, je zao la tangawizi linachukua mda gani shambani mpaka kuvunwa 5,jinsi ya kuvuna na...
  2. pelius laurent

    Je, bado hujapata Airtel SME menyu?

    OFFLINE ❌❌🥶
  3. PLATO_

    Wafanyabiashara jijini Mbeya waungana na wenzao wa Kariakoo na Mwanza kugoma

    Leo nimepita mitaa ya Mwanjelwa nimekuta fremu zimefungwa. Wamachinga wanaendelea na biashara zao kama kawaida. ==== Pia soma: Mgomo wa Soko la Kariakoo, Juni 24, 2024 Mgomo wa Wafanyabiashara wahamia Mwanza, maduka yafungwa
  4. Mwande na Mndewa

    Kenya Wafanyabiashara Milioni 15 walipakodi milioni 8, Tanzania Wafanyabiashara Milioni 27 walipakodi milioni 4. Shida ni nini!?

    Tujenge mfumo rafiki na unaotabirika wa kodi,Utahamasisha ulipaji kodi kwa hiari kwa kuwa utachochea ukuaji mitaji,tuumize akili Tanzania inufaike na nafasi yake ya kijiografia kujenga uchumi unaozalisha,aidha tujiulize wanaostahili kulipa kodi ni watu milioni 27 lakini wanaolipa kodi sasa ni...
Back
Top Bottom